Liverpool imefanikiwa kuingia hatua ya fainali ya Carbao Cup baada ya kuifunga Arsenal kwa mavao 2-0 mchezo uliopigwa jana usiku Januari 20, kwenye dimba la nyumbani la Arsenal, Emirates jijini London

 




Muuaji wa The Gunners alikuwa Diego Jota aliyekwamisha wavuni mabao yote mawili dakika ya 19’ na dakika ya 77.

 

Kiungo wa Thomas Partey alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90, na kizua gumzo mtandaini miongoni mwa mashabiki wakiohoji utimamu wa mwili kwani hajapata nafasi ya kumpunzika

 

  Partey alikuwa na timu ya Taifa ya Ghana ambayo imetupwa nje kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Cameroon

 

Liverpool itacheza fainali yake ya kwanza katika uwanja wa Wembely baada ya miaka sita, majogoo wa jiji watacheza na bingwa wa ulaya Chelsea.