Arsenal imevutiwa na kiungo wa Leicester City, Youri
Tielemans, na imeshaanza mazungumzo na mawakala wake juu ya uwezekano wa
kumsajili.
Mikel Arteta anataka
kuboresha safu yake ya kiungo baada ya kumruhusu Ainsley Maitland-Niles kwenda
Roma kwa mkopo.
Kwa mujibu wad Daily
Mail, Arsenal wameshaanza mazungumzo ya kumnasa Mbelgiji huyo, 24, ambaye
amebakiza miezi 18 kwenye mkataba wake na Leicester.
0 Maoni