Staa wa Arsenal na timu ya Taifa ya Gabon Pierre-Emerick Aubameyang  amekutwa na  maambukizi ya virusi vya corona mara baada ya kuwasili nchini Cameroon.

 


Gabon  Jumatatu Januari 10, itashuka Dimbani kuvaana na Comoro mchezo wa kundi C ambalo zina Timu za Ghana Pamoja na Morroco.

 

Huenda Aubameyang akaukosa mchezo huo muhimu wa kufungua dimba kwenye kundi C