Stori kubwa iligonga vichwa vya  habari za michezo  duniani kote zinamhusu Luis Suarez anayecheza Athletico Madrid, anatajwa kuwa kwenye rada za Aston Villa ya England.

 




Kwa mujIbu wa Daily Mail, mwandishi wa  habari za michezo wa Hispania Gerard Romero  amesema kocha wa Villa Steven Gerrard,amefanya mazungumzo na mchezaji huyo ambaye walicheza wote Liverpool

 

Villa chini ya Gerrard inaonekana kudhamiria kuimarisha kikosi hicho baada hivi karibuni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Brazil Phillipe Countiho kwa mkopo kutoka Fc Barcelona.