Barcelona imejitosa katika kinyang'anyiro cha kumsajili winga Uhispania Adama  Traore  kutoka Wolverhampton, winga huyo anawaniwa vikali na Tottenham Hotspurs.





Mazungumzo baina ya vilabu hivyo yanaendelea huku mkataba wa mkopo mpaka mwisho wa msimu ukiwa kipaumbele.

 

Kabla ya kukimbilia Uingereza, Traoré aliwahi kuichezea  Barcelona kuanzia 2004 hadi 2013.