Nyota wa Real Madrid Karim Benzema amefunga bao lake la 300 Real Madrid  wakati Real iliposhinda

 4-1 dhidi ya Valencia juzi kwenye La Liga.

 


 Benzema ambaye alifunga mabao mawili dakika ya 43 na 88, bao lake la pili lilikuwa la 300 kwake katika mechi 584 kwenye misimu yake 13 Real Madrid. Sasa ni mfungaji bora namba nne nyuma ya Alfredo de Stefano (308), Raul (323), na kinara Cristiano Ronaldo (450)


“Tulikuwa na wakati mgumu katika michezo yetu miwili ya kwanza kutokana na namna ambavyo wapinzani wetu walikuwa wakikamia na kufanya matumizi makubwa ya nguvu. “Kwa kuwa hakuna muda mrefu wa kupumzika, hivyo tutalazimika kufanya mabadiliko kadhaa ya kikosi kutokana na namna ambavyo mahitaji ya kikosi chetu yalivyo, na utimamu wa wachezaji husikia.