Bodi
ya ligi kuu Tanzania TPLB imeufungia uwanja wa mabatini Uliopo Mlandizi mkoani
Pwani kuendelea kutumika kwenye michezo ya ligi kuu hadi hapo utakapofanyiwa
marekebisho kwenye eneo la kuchezea (Pitch)
Eneo
la uwanja linatakiwa kusawazishwa vizuri na majani yake kustawishwa vema ila
kuendana na matakwa ya kikanuni na sheria namba ya mpira wa miguu inayozungumzia
uwanja
Klabu
ya Ruvu Shooting ambayo ilikuwa ikitumia uwanja huu kama uwanja wa nyumbani italazimika
kutumia uwanja wa Uhuru uliopo Dar es Salaam.
0 Maoni