Kocha
wa Tottenham Hotspurs Antonio Conte jana usiku amekaribishwa kwa kipigo kwenye
dimba la Stamford Bridge dhidi ya Chelsea, baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 mchezo wa kombe la Carbao Cup mzunguko wa
kwanza.
Magoli
yote ya Chelsea yamepachikwa kipindi cha kwanza na Mjerumani Kai Havertz na goli la pili lakujifunga
la beki Ben Davies Kwenye mchezo wa jana
kocha Tomas Tuchel alimuanzisha
mshambuliaji Romelu Lukaku
Hatua
hiyo imekuja baada ya Mbelgiji huyo kuomba radhi kutokana na maneno
aliyotoa wiki iliyopita ambayo kuwa hana furaha na Maisha ndani ya Stamford Bridge na anatamani kurejea
Inter Milan
0 Maoni