Inaweza
kushtua kidogo lakini ndio uhalisi kiungo mshambuliaji wa barcelona Philippe Coutinho
amekubali kujiunga na aston villa kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu huu.
Kocha
wa Villa Steven Gerrard ambaye alicheza na Coutinho wakiwa Liverpool ndiye aliyemshawishi
kujiunga na Villa.
Villa
wana Imani kuwa Coutinho ataisadia timun
hiyo sambamba na kurejesha makali ya kiungo huyo Fundi wa Ki- Brazil.
Vilabu
kadhaa vya England vilikuwa vikiwinda kupata Saini ya Coutinho lakini ameamua
kutimkia Villa kuungana na Gerrard.
0 Maoni