Mcheza Tenisi Nambari Moja Duniani Novack Djokovic amezuiwa kuingia  Austaralia baada ya kugundulika visa yake  kutokidhi vigezo vya kuingia kwenye taifa hilo.

 


Djokovic ambaye ni Bingwa Mtetezi wa Austalia Open, alishikiliwa katika uwanja wa ndege wa jiji Melbourne, hilo kwa saa kadhaa kabla ya vikosi vya mpakani kutangaza kuwa hajakidhi sheria za kuingia na atafukuzwa.

 

Katika taarifa, Jeshi la Mpakani la Australia lilisema Djokovic "alishindwa kutoa ushahidi ufaao ili kukidhi mahitaji ya kuingia Australia, na visa yake imefutwa.

 

Mwaka jana Staa huyo wa Tenis alipinga chanjo hatua inayotajwa kuwa imechochea Sakata ka kuzuiwa kuingia Austalia.