Hatua hiyo imekuja kwenye tukio la mchezaji wa Yanga Djuma Shabani kuchezewa rafu kabla hajalipiza kwa kupiga kiwiko.
Mwamuzi msaidizi namba moja Paschak Joseph kutika Shinyanga na mwamuzi wa akiba Jackson Samwel kutoka Arusha wameondolewa kwenye ratiba ya waamuzi kwa mizunguko mitano (5) kwa kushindwa kumsaidia mwamuzi wa kati katika kutafsiri vema sheria za mpira wa miguu kwenye tukio la mchezaji Djuma Shabani kuchezewa rafu kabla hajalipiza kwa kupiga kiwiko.
0 Maoni