Klabu ya Klabu ya Manispaa ya Kinondoni KMC  leo Januari  6, imeingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha Thiery Hitimana kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho  kinachoshiriki ligi kuu ya NBC Premier League




Hitimana amewahi kuifundisha Namungo kisha kutimkia  Simba ambapo alikuwa kocha msaidizi na baada kisha leo kusaini kandarasi ya mwaka mmoja.

 

Thiery ambaye amechukua nafasi ya John Simkoko na Habibu Kondo waliokuwa wakifundisha klabu hiyo.