Taarifa kutoka Yanga ni kwamba wachezaji Abdallah
Shaibu na Shomari Kibwana leo Januari 12, wamepelekwa Tunisia kwa ajili ya kupatiwa matibabu
kutokana na majereha walioyapata.
Wachezaji hao wameambatana na Youssef
Mohamed Yanga ina majeruhi ni wanne wachezaji wanne ambao ni majeruhi kwenye
kikosi hicho “Yacouba Sogne, Kibwana Shomari, Abdallah Shaibu ‘Ninja’
0 Maoni