Mlinda mlango wa Mtibwa Sugar, Jeremia Kisubi hatacheza mchezo wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Simba Sc kutokana
na mkataba wake wa mkopo kutocheza mechi dhidi ya Simba.
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally amethibitisha hilo leo Januari 19, alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha redio cha Wasafi Fm.
Huenda Shabani Kado akapewa jukumu la kusimama kwenye milingoti mitatu
naada ya mtibwa kumpoteza mlinda mlango Aboutwalib Msheri aliyejiunga na Yanga.
0 Maoni