Kocha Mkuu wa Simba Pablo Franco, amesema wana ratiba ngumu jambo linalowafanya kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi.



 

Jana Jumamosi, Simba ilitoka sare kwenye  mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro.


 


Kabla ya mchezo huo, Simba imetoka kupoteza mbele ya Mbeya City kwa kufungwa bao 1-0.


 

Jumatano ijayo watakuwa mkoani Kagera kupambana na Kagera Sugar. hizi ni mechi za ligi kuu. 

 

 Januari 30, watawakaribisha Dar City kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam hatua ya 32