Meneja wa Manchester United Ralf Rangnick, amesema anashangaa  kiwango cha Marcus Rashford uwanjani baada ya jana usiku, kuonyesha kiwango kibovu kwenye ushindi wa mwembamba wa bao 1-0   dhidi ya Aston Villa kwenye  mchezo wa kombe la  FA .



Marcus anafanya juhudi kubwa kwenye uwanja wa mazoezi ndio maana yupo kwenye kikosi kilichaoanza mchezo huu lakini sijui kwa nini anapata shida kuonyesha kiwango hicho kwenye mechi amesema Rangnick.

“Hakuwa na wakati mzuri kipindi cha pili nikamaua kufanya mabadilko ya kuwaingiza Jesse na Elanga itakuwa mfano mzuri kwa wengine yeye kufunga sina mashaka kwa sababu anafanya jitihada kubwa atafunga”

 

Bao pekeee la Scott McTominay limetosha kuitupa nje ya michano hiyo Villa iliyo chini ya Legend wa Liverpool Steven Gerrard.