Mshambuliaji wa Namungo Fc Reliants Lusajo amechagulia kuwa
Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi
Disemba, 2021.
Kikao cha kamati ya Tuzo
za TFF kimemchagua Lusajo baada ya
kuonesha kiwango kizuri kwa mwezi
Desemba akifunga mabao matatu kwa timu
yake na kuchangia mafanikio klwa Namungo
ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya 8 katika msimamo wa ligi kuu.
0 Maoni