Manchester
City imeendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi kuu England, baada ya
kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya mabingwa wa ulaya, Chelsea mchezo uliochezwa katika
dimba la Ettihad, Manchester.
Bao
pekee kwenye mchezo huo limefungwa Kevin De Bruyne dakika ya 70, ambao kwa
sehemu kubwa ulitawaliwa na wenyeji Man City.
Pep
Guardiola anaonekana kuwa amedhamiria kutwaa ubingwa msimu akiongoza msimamo na
alama 56 akiicha Chelsea na alama 43 katika nafasi ya pili.
0 Maoni