BIngwa mtetezi wa ligi kuu ya NBC Simba itawakosa nyota wake wawili Kiungoa Jonas Mkude pamoja na Kibu Denis kwenye dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi Januari 20 mchezo utakao pigwa Manungu Turiani mkoani Morogoro.

 




Wachezaji hao waliumia kwenye dhidi ya Mbeya City ambayo Mnyama Simba alipoteza mchezo ya kwanza kwenye ligi msimu huu  kwa bao 1-0.

                           

Simba imewasili leo jioni Jnuari 20, mjini Mororgoro kwa ajili ya kujianda na mchezo huo dhidi ya wakata miwa utakopigwa uwanja  Manungu