Klabu ya Mtibwa Sugar  ya Manungu Turiani, mkoani  Morogoro leo Januari 7, 2022 imemtambulisha  Salum Mayanga kuwa kocha wa mpya

 



Mayanga anachukua mikoba ya Joseph Omong ambaye alitimuliwa  Desemba 14, 2021, kibarua cha kwanza ni kuhakikisha anafanya vizuri kwenye mechi za ligi kuu ya NBC Pamoja ila Kombe la Shirikisho ya Azam 


 

Licha ya kusajili nyota kadhaa wakiwemo beki Abdi Banda, na kiungo Said Ndemla Mtibwa wanashika nafasi ya 13 na alama 10.