Klabu ya Everton ya nchini England,leo Januari 31, imetambulisha rasmi Frank Lampard kuwa meneja wao, akirithi mikoba ya kocha Rafa Benitez aliyetimuliwa hivi
karibuni, staa huyo wa zamani wa Chelsea amepewa mkataba wa miaka wiwili na nusu kuionoa timu
hiyo.
Lampard anarudi tena
kwenye Premiere League baada ya kuingoza Chelsea tangu Julai 14, 2019 mpaka
Januari 25, 2021, ambapo alitimuliwa na klabu hiyo kutokana na mfululizo wa
matokeo yasiridhisha.
0 Maoni