Nahodha wa timu ya taifa ya Ureno anayekipiga Manchester United  Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mfungaji bora wa magoli kwa timu ya Taifa katika tuzo za za Fifa zilizotolewa usiku wa kuamkia leo Zurich, Uswisi

 

 


Ronaldo ameweka rekosi ya kuwa mchezaji aliyefunga magoli mengi kwenye timu ya taifa akifunga magoli 155.

“Tuzo hii ni nzuri sana sikuwahi kuwaza kama nitaifikia rekodi hii ya magoli 155, ndoto imetimia rekodi iliyokuwepo ilikuwa 109 sasa nipo mbelel kwa magoli 6 nina furaha sana kupata tuzo hii ya kipekee kutoka “ amesema Ronaldo

 

Aidha baada ya kupokea tuzo hiyo Ronaldo amesema tuzo hiyo anaipokea kama changamoto na kuwapa motisha wachazaji wa Manchester United  kutimiza malengo yao msimu huu.