Mohamed Salah ameipeleka Misri robo fainali ya michuano ya
Afcon baada ya kupiga mkwaju wa penati wa mwisho baada dakika 120 kumalizika bila
kumpata mshindi.
Misri iliibuka na ushindi wa penati 5-4, kwenye mchezo huo
wa 16 bora, Misri sasa itakutana na Morocco kwenye hatua ya robo fainali.
Mechi myingine za robo fainali ni kati ya Cameroon dhidi ya Gambia,
Burkina Faso watacheza na Tunisia, Senegal watavaana Equtorial Guinea mechi hizo zitachezwa Januari 29& 30.
0 Maoni