Supa Star wa filamu nchini Marekani Arnold Schwarzenrgger   jana Januari 21, majira ya  saa 10:30 jioni kwa saa za marekani amepata ajali ya gari katika jiji la Los Angeles baada ya kugongana na gari uso kwa uso na gari lingine.




 Kwa,mujibu wa  polisi wamesema magari manne yaligongana mmoja na majeraha, hata hivyo 
Arnold anaripotiwa kuwa hajapata majeraha kabisa hii ikithibitishwa na ushahidi wa picha baada ya ajali  zinazomuonesha akiwa eneo la tukio lakini dereva katika gari nyingine aina yPrius aliyegongana amepata majeruhi kichwani na kulazimika kukimbizwa Hospitali.

 

Arnold alikuwa anaendesha gari aina ya GMC Yukon SUV mashuda wamesema staa huyo ndiye alisababisha ajali.