Droo ya hatua ya mtoano ya kufuzu kombe la Dunia nchini Qatar mwaka huu kwa Mataifa ya Afrika imetoka leo Januari 22, 2022
Mechi itakayosisimua zaidi ni kati ya Senegal ambao watacheza na Egpt mchezo ambao utawakutanisha nyota wa Liverpool Mohamed Salah na Sadi Mane.
0 Maoni