Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Simba leo Januari 3, imezindua jezi mpya ambazo watazitumia katika michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) na Mapinduzi Cup ambayo imeanza kutimua vumbi visiwani Zanzibar.
Simba tayari imewasili visiwani humo kwa ajili ya michuano hiyo ambapo Januari 5m itashuka dimbani kuvaana na Selem View saa 10:00 jioni.
0 Maoni