Bodi ya Ligi kuu Tanzania TPLB imeufungulia uwanja wa Manungu
uliopo Turiani mkoani Morogoro kuendelea
kutumika kwa michezo ya ligi, hatua hiyo imekuja baada ya kufanyiwa ukaguzi na
kuthibitika unakidhi vigezo vya kikanuni.
Uwanja huo ulifungiwa baada ya eneo la kucheza (pitch) ulikosa
sifa za kikanuni kufuatia taarifa hiyo mchezo wa ligi ya NBC namba 102 kati ya
Mtibwa Sugar dhidi ya Simba uliopangwa kuchezwa uwanja wa Jamhuri Morogoro sasa
utachezwa kwenye uwanjan wa Manungu.
0 Maoni