Dakika 90 za mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya Polisi Tanzania umemalizika kwa wananchi kuondoka na alama tatu baada ya kushinda kwa bao 1-0 mchezo uliopigwa leo Januari 23, uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha
Gili pekee la Yanga
limefungwa na Dickson Ambundo dakika ya 64’ baada ya mshambuliaji Fiston Mayele
kuwachambua mabeki wa Polisi Tanzania.
0 Maoni