Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele amechaguliwa mchezaji bora Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Januari, 2022.

 



Kikao cha kamati ya Tuzo cha TFF kilochokutana mwishoni mwa wiki kilichokutana mwishoni mwa juma kimemchagua Mayele baada ya kuonyesha kiwango kizuri na kuisadia timu yake kupata ushindi katila mechi mbili akifunga bao moja na kuhusika kwenye bao moja.

 

Mayele anakuwa mcheaji wa tano kushinda tuzo hiyo akiwashinda  Realiants Lusajo wa Namungo Fc, Tepsea Evans wa Azam Fc, alioingia nao fainali.