Timu ya taifa ya Misri imeingia hatua ya fainali ya Afcon baada ya kumfunga mwenyeji Cameroon kwa penati 3-1 baada ya kutofungana ndani ya dakika 120.
Mohamed Salah sasa
atakutana na mchezaji mwenzake wa Liverpool Sadio Mane wa Senegal kwenye mchezo wa fainali jumapili
0 Maoni