Kamati hiyo imemtoa kwenye ratiba ya waamuzi kwa mizunguko mitatu Mwamuzi Ahmada Simba aliyechezesha mchezo kati ya Simba dhidi ya Tanzania Prisons katika uwanja wa Benjamin Mkapa Februari 3 2022 kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za mpirawa miguu kwenye mchezo huo.
Mechi hiyo iliisha kwa Simba kupata ushindi wa goli 1-0 kwa Penati iliyopigwa na Meddie Kagere.
0 Maoni