Kiungo wa Manchester United Paul Pogba anarejea dimbani leo ijumaa katika mchezo wa robo fainali ya kombe la FA dhidi ya Middlesbrough

 


Pobga hajacheza mechi yoyote tangu sate ya 2-2 dhidi ya Atalanta kwenye ligi ya Mabingwa Nobemba 2021

 

Hivi karibuni amekuwa kwenye mazoezi kwenye uwanja wa Carrington chini ya kocha wa muda Rafl Rangnick ambaye kama ataamua kumjumuisha kwenye kikosi, itakuwa mechi ya kwanza yangu kocha huyo arithi mikoba ya Ole Gunner Solskjær.