Kuelekea mchezo wa kesho ligi kuu ya NBC kati ya bingwa mtetezi Simba dhidi ya Tanzania Prisons, kocha msaidizi wa Seleman Matola amesema wataendelea kumkosa kiungo wao Jonas Mkude na kungo mshambuliaji Kibu Dennis bado hawajwa fiti kwa asilimia 100 kuanza kucheza mechi baada ya kuumia.
Ikumbukwe Simba wataendelea kumkosa Kocha wao mkuu Pablo Franco anatumikia adhabu ya kufungiwa mechi tatu na bodi ya ligi .
Simba inashuka dimbani kesho dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya kwenye dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam saa 1:00 usiku.
0 Maoni