Hatimaye Mason Greenwood ameachiwa kwa dhamana leo Februari 2, baada ya kushikiliwa na polisi siku tatu kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono
na vitisho vya kuua.
Klabu ya Manchester United imeweka wazi kuwa mchezaji huyo
hataruhusiwa kuichezea au kufanya mazoezi na kikosi hicho wakati polisi bado
wakiwa wanaendelea na uchunguzi.
Mastaa kadhaa wa klabu hiyo wame ‘mu unfollow’ Greenwood
kwenye kurasa zao za mitandao ya kijaamii kufuatia tuhuma hizo.
Greenwood, 20, alikamatwa kwa tuhuma za
ubakaji na shambulio baada ya video na sauti kusambazwa kwenye mitandao ya
kijamii zikimuonyesha anayedauwa jywa mpenzi wake akiwa anavuja damu
usoni baada kupigwa.
0 Maoni