Klabu ya Manchester United imeripotiwa
kusaka saini ya Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel wakati ambao Miliki wa mabingwa
hao wa Ulaya Roman Abromovich akiendelea kuwekea vikwazo mbalimbali kwa madai
kuwa ni mshirika wa karibu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin.
United imeripotiwa kuwaambia wawakilishi wa Thomas Tuchel
kuwajuza juu ya mustakabali kocha huyo endapo ataamua kuondoka klabuni hapo.
0 Maoni